Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Nusu ya wabunge hawatarudi bungeni mwakani

$
0
0
Wakati Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania likiendelea na vikao vyake mjini Dodoma, imeelezwa kwamba nusu ya wabunge 239 wa kuchaguliwa waliopo sasa, watabwagwa katika Uchaguzi Mkuu 2015.   Hiyo inatokana na wabunge kutoa ahadi nyingi kwa wapigakura ambazo hawazitekelezi hivyo kukumbwa na rungu la wananchi mwakani.   Hayo ni matokeo ya utafiti uliofanywa na taasisi ya Twaweza

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>