Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mabweni na Madarasa ya Shule ya Filbert Bayi iliyopo mjini Kibaha Yateketea kwa Moto

$
0
0
Wanafunzi 70 wa Shule ya Msingi Filbert Bayi iliyopo mjini Kibaha, mkoani Pwani, wamenusurika kuteketea kwa moto baada ya mabweni mawili ya shule hiyo kushika moto na kuungua kabisa.   Moto huo unaodhaniwa ulitokana na hitilafu ya umeme, ulizuka ghafla shuleni hapo kuanzia katika bweni namba nne la wasichana, ambalo ni moja ya mabweni ya wanafunzi hao kuanzia saa 8 za usiku wa kuamkia

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>