Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

"Panya road" Wafunga Mitaa Minne Dar es Salaam

$
0
0
Ilikuwa hekaheka iliyosababisha shughuli katika mitaa minne ya Tabata, Dar es Salaam kusimama kwa saa nne baada ya kundi la vijana wenye nondo, mawe na visu kushambulia watu, kupora na kuharibu mali kutokana na kile kilichodaiwa kuwa ni kulipiza kisasi.    Kundi hilo la vijana zaidi ya 30 ambalo mmoja wao ameuawa linalofananishwa na lile la Panya Road ambalo hivi karibuni lilisumbua

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>