Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Dj Tass wa Magic Fm apata shavu la kutumbuiza kwenye Big Brother Africa Hotshots Ijumaa hii

$
0
0
DJ Tass wa kituo cha radio cha Magic Fm pamoja na kipindi cha Wakilisha cha Maisha Magic-DSTV amepata shavu la kwenda kutumbuiza kwenye jumba la Big Brother Africa Hotshots Ijumaa hii. Tass amesema kuwa ataondoka Dar es salaam Ijumaa hii kuelekea Johannesburg, Afrika Kusini.   Kupitia Instagram pia ameshare taarifa hiyo kwa kuandika, “Official Dj for BBA Hotshots 2014 representing

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>