Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

TCRA Yawataka Wamiliki wa Blogs Kuzitumia Vizuri Wakati wa Uchaguzi

$
0
0
Wamiliki wa Blogs nchini wametakiwa kuzitumia vyema blog zao katika kuripoti habari na matukio mbalimbali wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa, wabunge na urais.   Hayo yamesemwa na Mkurugezi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Profesa John Nkoma jana alipokuwa akizungumza na wamiliki wa Blogs  katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.   Profesa Nkoma

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>