Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Chid Benz Atinga Tena Mahakamani......Kesi Yake Yaahirishwa hadi Disemba 1

$
0
0
Rapper  Rashid Abdallah Makwiro aka Chid Benz  ambaye yupo nje kwa dhamana kufuatia kukamatwa na dawa za kulevya uwanja wa ndege Dar es salaam leo Nov 11 2014 alikwenda tena kwenye Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu Dar es Salaam. Taarifa kutoka mahakamani hapo zinaarifu  kwa, upande wa Jamhuri umeomba kesi ya msanii huyo iahirishwe mpaka December 1 2014  kwa  kuwa  upelelezi  bado 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>