Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kinana na Dr. Slaa kesho watashiriki katika Mjadala wa Rais wa Tanzania anayetakiwa 2015

$
0
0
Makatibu wakuu wa CCM, Abulrahman Kinana na Dk Willibrod Slaa wa Chadema kesho watashiriki katika mjadala wa rais wa Tanzania anayetakiwa kupitia Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.   Mjadala huo utakaofanyika Dar es Salaam, umeandaliwa na Asasi ya Twaweza ikiwa ni sehemu ya uzinduzi wa ripoti ya utafiti wa maoni ya wananchi juu ya mwelekeo wa rais wanayemtaka kupitia uchaguzi wa mwaka 2015.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>