Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mtoto Aliyefaulu Darasa la saba Nusura Atolewe Kafara

$
0
0
Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro limemtia mbaroni mganga mmoja wa jadi anayedaiwa kuteka watoto kwa njia za kishirikina kwa ajili ya kutolewa kafara.   Mbali na mganga huyo, pia wamemtia mbaroni mwanamke mmoja, anayedaiwa kusuka mipango ya kutekwa nyara kwa watoto na kuwahifadhi kwa mganga huyo.   Mganga huyo ambaye anadaiwa ni mwenyeji wa mkoani Mbeya, alikutwa na mtoto wa kike

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>