Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Malalamiko ya wizi wa vifaa vya magari bandarini, Serikali imetoa tamko.

$
0
0
Imekuwa kawaida watu wengi kulalamikia vitendo vya wizi wa vifaa mbalimbali katika magari eneo la bandari ya Dar es Salaam hali iliyopelekea  Serikali kutoa tamko rasmi juu ya mkakati unaoandaliwa ili kukomesha wizi huo.   Akizungumzia mkakati huo Naibu Waziri wa Uchukuzi Dkt. Charles John Tizeba amesema;-    “..Wizi huu umepungua kwa kiasi kikubwa sana na kwa sababu tumehakikisha

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>