Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Tetesi za Kisiwa cha Pemba kuwa sehemu ya Kenya, Serikali ya Tanzania yatoa tamko

$
0
0
Kufuatia kuripotiwa kwa taarifa katika vyombo mbalimbali vya habari kuhusiana na mgogoro wa mpaka uliokuwepo kutokana na madai kuwa kisiwa cha Pemba ni sehemu ya Kenya, Serikali ya Tanzania imetoa taarifa rasmi kuhusiana na mgogoro huo.    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Benard Membe, amewatoa hofu Wananchi kuwa Pemba ni sehemu ya Tanzania na hakuna ukweli wowote

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>