Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mtoto achanwa viwembe, vidonda vyawekwa chumvi

$
0
0
POLISI mkoani Morogoro wanamshikilia Tausi Omary (30), mkazi wa kata ya Chamwino, Manispaa ya Morogoro kwa tuhuma za kujeruhi mtoto wa dada yake, Jafari Mashaka (11) kwa kumchanachana mguuni kwa wembe na kisha kuweka chumvi kwenye vidonda, kwa madai ya kumwimbia fedha kiasi cha Sh 4,500.   Mashaka, mwanafunzi wa Memkwa wa darasa la tatu katika shule ya msingi Kiwanja cha Ndege, alikutwa na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>