Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wafariki ajalini wakisindikiza 'mzigo nyeti'

$
0
0
GARI lililokuwa likisindikiza fedha limepinduka  jana  likijaribu kumkwepa mwendesha pikipiki na kuua waliokuwemo na kujeruhi wengine. Kamanda wa polisi mkoa wa mwanza, Valentino Mlowola amethibitisha kuwepo kwa ajali hiyo. Amesema ajali hiyo imetokea jana majira ya saa 7.40 katika eneo la Mkuyuni, jijini Mwanza ambapo ilihusisha gari la Benki Kuu (BOT) lenye usajili namba SU 35296

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>