Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Wazee wa Dodoma 4 Novemba 2014

$
0
0
Ndugu Wananchi; Nakushukuru sana Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa Dodoma, Mheshimiwa Balozi Job Lusinde kwa kuandaa mkutano huu. Wakati nilipofanya ziara ya Mkoa wa Dodoma tulipanga tukutane lakini kwa vile ratiba yangu iliingiliwa na mambo mengi, hivyo haikuwezekana, lakini leo imewezekana.    Pengine hii ndiyo siku ambayo Mwenyezi Mungu alipanga tukutane. Tumshukuru Muumba wetu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>