Walimu wawili wanaojitolea katika
Shule ya Msingi Msali, Kata ya Nyakahura, wilayani Biharamulo, mkoani
Kagera wanatumia vipande vya mihogo mikavu na mkaa kuandikia ubaoni
baada ya kukosa chaki.
Wakizungumza shuleni hapo juzi,
walimu hao walisema hawana chaki za kuandikia na kwamba wanatumia vitabu
viwili vya hesabu na kiswahili kufundishia wanafunzi 200.
Mwalimu
mkuu wa shule
↧