Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Walimu watumia MIHOGO kuandikia Biharamulo

$
0
0
Walimu wawili wanaojitolea katika Shule ya Msingi Msali, Kata ya Nyakahura, wilayani Biharamulo, mkoani Kagera wanatumia vipande vya mihogo mikavu na mkaa kuandikia ubaoni baada ya kukosa chaki.   Wakizungumza shuleni hapo juzi, walimu hao walisema hawana chaki za kuandikia na kwamba wanatumia vitabu viwili vya hesabu na kiswahili kufundishia wanafunzi 200.   Mwalimu mkuu wa shule

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>