Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rufaa ya Sheikh Ponda Yatupiliwa Mbali

$
0
0
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeyatupilia mbali maombi ya Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda ya kuitaka isimamishe kesi ya uchochezi inayomkabili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro hadi itakapotoa uamuzi wa rufaa yake.   Jaji Lawrence Kaduri aliyatupilia mbali maombi hayo baada ya kukubaliana na pingamizi la awali lililowasilishwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>