Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rais Kikwete Aomba Yasimkute ya Jaji Warioba.....Polisi watoa tamko, CUF Waapa kulinda midahalo ya Jaji Warioba!

$
0
0
Rais Jakaya Kikwete amesema anaomba yasimkute ya Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba aliyeshambuliwa katika mdahalo wa katiba uliofanyika Dar es Salaam, juzi.   Rais Kikwete alitoa kauli hiyo Mwanza jana katika mkutano wa 12 wa Shirikisho la Taasisi za Kupambana na Rushwa (Safac) unaojumuisha nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles