MKUTANO wa 36 wa Bunge la nchi wanachana wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), umemchagua kwa kishindo Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Makinda kuwa Rais wa Bunge hilo kwa kipindi cha miaka miwili ijayo.
Mbunge wa Malawi, Njovya Lema amechaguliwa kuwa Makamu wa Rais. Makinda, ambaye hakuwa na mpinzani katika uchaguzi huo uliofanyika juzi,
↧