Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Makonda Akana Kumpiga Jaji Warioba......Asema anamheshimu kama baba yake!

$
0
0
Katibu wa Hamasa na Chipukizi wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM, Paul Makonda amekanusha taarifa ya kwamba amehusika kumpiga Waziri Mkuu wa zamani Jaji Joseph warioba jana.    Amesema hawezi kumfanyia kitendo kama kile Jaji warioba kwani anamuheshimu kama mzazi wake.   Katika vurugu hizo, Makonda anatuhumiwa  kumpiga aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>