Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kaimu Mkurugenzi wa TPDC na mwenyekiti wake wa bodi watupwa rumande kufuatia kushindwa kuwasilisha mikataba 26 kwa PAC.

$
0
0
Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Maendeleo ya Petrol nchini Tanzania (TPDC) Michael Mwanda na Kaimu Mkurugenzi wa Shirika hilo James Andilile wanashikiliwa na polisi kwa kushindwa kuwasilisha mikataba 26 ya TPDC kama ilivyoagizwa na Kamati ya bunge.   Hatua hiyo imekuja baada ya Shirika la Maendeleo ya Petrol nchini Tanzania (TPDC) kushindwa kuwasilisha mikataba 26 kwa Kamati ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>