Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mlemavu wa ngozi anusurika kuuawa

$
0
0
Msichana Kulwa Joseph (21) mwenye ulemavu wa ngozi (Albino) mkazi wa kijiji cha usonga kata ya sirambo wilayani kaliua mkoani Tabora, amenesurika kuuawa na majambazi watatu, ambapo awali walimteka Balozi wa nyumba kumi na kumpiga ili awapeleke kwa mlemavu huyo naye kwa kubaini nia mbaya akawapeleka nyumba nyingine.   Akizungumza katika kituo cha kulelea yatima na wanaoishi katika

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>