Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Polisi Waanza Msako Mkali wa Madereva Wawili WALIOUA Abiria 12 jijini Arusha

$
0
0
POLISI mkoani Arusha inawasaka madereva wawili wa magari mawili ambayo yalisababisha ajali iliyoua abiria 12 na kujeruhi wengine watatu.   Madereva hao ni wa basi dogo la abiria aina ya Nissan lenye namba za usajili T519 BDJ na lori la mafuta aina ya Scania lenye namba za usajili T 582 ACR ambao magari yao yaligongana katika barabara ya Arusha Moshi eneo la Madira baada ya basi hilo kutaka

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>