Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwanaume Atiwa Mbaroni baada ya kukutwa akifanya Mapenzi na Kondoo

$
0
0
Mtu mmoja mkazi  wa  Kiamaina, Nakuru amekamatwa na kufikishwa kituo cha Polisi baada ya kukutwa akifanya mapenzi na kondoo.    Mtu huyo aliyetambulika kwa jina la John Chege mwenye umri wa miaka 27, ambaye ni fundi wa kukarabati mabomba ya maji katika eneo hilo amekiri kufanya kosa hilo japo amelalamika kuwa mama yake mzazi amehusika kumuandalia mtego wa kumkamata akifanya kitendo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>