Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wananchi wachoma jengo la bunge na kuvamia ikulu nchini Burkina Faso

$
0
0
Waandamaji wenye hasira nchini Burkina Faso wamelichoma moto jengo la bunge kufuatia mipango ya Rais Blaise Compaore kutaka kurefusha kipindi chake cha utawala uliodumu kwa miaka 27. Mamia ya watu walivuka ulinzi mkali katika jengo la bunge katika mji mkuu Ouagadougou, ambapo walichoma moto magari kabla ya kukivamia kituo cha runinga cha serikali na kisha ikulu.   Mtu mmoja aliuawa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>