Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mlegezo Wamponza Chid Benz Mahakamani

$
0
0
Kuonesha wapo ‘serious’ na mavazi, polisi walimtaiti staa wa Bongo Fleva, Rashid Makwiro ‘Chid Benz’ na kumtaka akavae vizuri kisha arejee mahakamani.    Tukio hilo lilitokea juzi, Jumanne katika Makahama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar, wakati staa huyo alipokuwa amefikishwa kusomewa mashtaka yake ya kukutwa na madawa ya kulevya. Akiwa katika viunga hivyo vya mahakama, Chid

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles