Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Ajali Yaua Watu 9 Mkoani Arusha baada ya Hiace Kugongana Uso kwa Uso na Lori la Mafuta

$
0
0
Watu 9 wamefariki dunia na wawili kujeruhiwa vibaya katika ajali ya barabarani iliyotokea katika eneo la Makumira wilayani Arumeru baada ya basi dogo aina ya Hiace kugongana uso kwa uso na lori la mafuta.    Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Arusha Lebaratus Sabas amesema kuwa ajali hiyo imetokea majira ya saa Kumi jioni baada ya basi hilo dogo aina ya Nisan lenye namba za usajili T519 DBV

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>