Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Polisi Yatumia Mabomu ya Machozi kuwatawanya Wafuasi wa CHADEMA waliokuwa katika mkutano wa Halima Mdee

$
0
0
Jeshi la Polisi wilayani Kyerwa limetumia mabomu ya machozi kupambana na wafuasi wa Chadema waliotaka kufanya mkutano wa ndani.    Mkutano huo ulikuwa uhutubiwe jana na Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha), Halima Mdee ambaye yuko ziarani katika Mikoa ya Kanda ya Ziwa.   Msafara wa Mdee uliwasili katika Kijiji cha Karukwara, Kata ya Isingiro saa 8:35 mchana na kwenda

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>