Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

TCRA yatoa mwongozo wa uchaguzi Mkuu Ujao kwa vyombo vya habari

$
0
0
Ukiwa umesalia mwezi mmoja kuanza kwa uchaguzi wa Serikali za Mitaa nchini, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa rasimu ya mwongozo kwa vyombo vya habari vya utangazaji utakaongoza namna ya kuripoti habari zote za uchaguzi.    Mwongozo huo utawabana pia wanasiasa ambao hupenda kutumia vyombo vya habari kujisifia wakati wa kampeni kwa kutoa misaada mbalimbali kwa jamii.  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles