BINTI mmoja aitwaye Josephine Michael mkazi wa Kijiji cha Kiegea nje
kidogo ya Manispaa ya Morogoro, Jumatano iliyopita alijifungua
barabarani wakati akikimbizwa hospitalini kwa kutumia usafiri wa
bodaboda.
Tukio hilo lililowashtua watu wengi lilitokea asubuhi kwenye Kituo
cha Daladala Cha Nanenane kandokando ya Barabara Kuu iendayo Dar es
Salaam.
Mwandishi wetu alifika eneo
↧