Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

BABY MADAHA ALIZWA NGUO ZAKE ZA NDANI....

$
0
0
KATIKA hali ya kushangaza, msanii wa filamu na muziki Baby Joseph Madaha amejikuta katika wakati mgumu baada ya kuibiwa nguo zake za ndani alizokuwa ameanika nje maeneo ya Mikocheni jijini Dar. Chanzo  cha habari ambacho ni shosti wa karibu wa mwanadada huyo kilichoomba hifadhi ya jina lake kilitiririka: “Alizifua kama dazeni nzima hivi na kuzianika nje kisha kwenda kwenye mishe zake

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>