Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mabomu manne ya kivita yakamatwa Zanzibar

$
0
0
Jeshi la Polisi Zanzibar limefanikiwa kumkamata mtu mmoja akiwa na mabomu manne ya kivita ambayo yanasadikiwa ni miongoni mwa mabomu yanayotumika katika vitendo vya uhalifu yaliyotokea sehemu mbali mbali nchini.   Kamishna wa jeshi la polisi Zanzibar CP Hamdani Omar Makame amethibitisha kukamatwa kwa mtu huyo ambaye kwa mujibu wa jeshi hilo mtu huyo amekiri kuwa anajishughulisha na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>