Reyhaneh Jabbari mwenye umri wa miaka 26
amehukumiwa kunyongwa baada ya kukutwa na hatia ya kumuua mtu mmoja
ambaye alifanya jaribio la kumbaka.
Taarifa iliyoripotiwa na CNN
inasema mwanamke huyo amenyongwa katika gereza la Tehrain, Iran ambapo
alikuwa amefungwa baada ya kutenda kosa hilo mwaka 2007 wakati huo akiwa
na umri wa miaka 19.
Mwanamke huyo amekutwa na hatia hiyo
↧