Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

UKAWA kutoa msimamo wao Jumapili Jangwani

$
0
0
Kamati ya ufundi inayoshughulikia Oganizesheni ya Mikutano ya Umoja wa Katiba ya Wananchi nchini Tanzania (UKAWA) imeandaa mkutano wa hadhara unaotarajiwa kufanyika Jumapili wiki hii katika viwanja vya Jangwani Jijini Dar es salaam.   Mwenyekiti wa Kamati hiyo Bw. Singo Benson Kigaila amesema tayari wamesha fuata taratibu zote za kufanyika kwa mkutano huo wa hadhara ikiwemo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>