Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

BASATA lina siku 7 tu kubaini ukweli kuhusu skendo ya Sitti Mtemvu

$
0
0
Baraza la Sanaa la Taifa, BASATA limeanza kuifanyia uchunguzi skendo inayomkabili Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu kuhusiana na kudanganya umri wake. Baraza hilo lina siku saba tu kukamilisha kazi hiyo. Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana na Utamaduni, Juma Mkamia aliiambia gazeti la Champion kuwa serikali imelikabidhi suala hilo kwa Baraza la Sanaa la Taifa ili wafanye uchunguzi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>