Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

LHRC inafikiria uwezekano wa kupinga kura ya maoni ya katiba mpya

$
0
0
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu nchini Tanzania – LHRC, pamoja na wadau mbalimbali wa mchakato wa katiba, wanajadili uwezekano wa kuchukua hatua za kisheria kuzuia zoezi la kura ya maoni kuhusu katiba mpya ambayo imepangwa kufanyika mwakani. Akizungumza katika mahojiano na East Afrika Radio ofisini kwake jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi Mkuu wa kituo hicho Dkt.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>