Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Majonzi Yatawala katika Msiba wa Mwananchi aliyeuawa na Askari wa JWTZ.....Chanzo cha kuuawa ni Marehemu kudaiwa kumsumbua mke wa mwanajeshi

$
0
0
Baadhi ya ndugu waliokuwa wakiuaga mwili wa Aron Kihundwa (28) kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dar walijikuta wakidondoka na kuzimia kufuatia uchungu wa kumpoteza mpendwa wao huyo aliyedaiwa kuuawa na Komandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania, Octavian Mgowele. Tukio hilo lilijiri wiki iliyopita na kumfanya Mchungaji  Elaina Msuya wa Kanisa la KKKT aliyekuwa akiongoza misa ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>