Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mama na Watoto wake Wawili wachinjwa kinyama mkoani Tabora

$
0
0
WIMBI la mauaji ya kutisha limeendelea kutikisa nchini, baada ya watu wasiojulikana kuwaua mama na watoto wake wawili kwa kuwakatakata kwa mapanga usiku wa kuamkia juzi.   Tukio hilo la kusikitisha lilitokea katika Kijiji cha Nata wilayani Nzega mkoani Tabora.   Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Suzan Kaganda, jana aliwataja waliouawa kuwa ni mama Leticia Thomas, Marietha Nicolaus

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>