Mwili wa Salome Richard (17) aliyefariki dunia katika Hospitali
Teule ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza akidaiwa kuwa na dalili za
ugonjwa wa ebola ulizikwa juzi katika makaburi ya misheni mjini hapa
chini ya uangalizi maalumu.
Mgonjwa huyo alifariki dunia Ijumaa saa 2 usiku
baada ya kufika hospitalini hapo akiwa na homa kali. Vile vile madaktari
waliokuwa wanatoa huduma kwa
↧