Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Aliyedaiwa kufa kwa Ebola huko Sengerema mkoani Mwanza azikwa

$
0
0
Mwili wa Salome Richard (17) aliyefariki dunia katika Hospitali Teule ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza akidaiwa kuwa na dalili za ugonjwa wa ebola ulizikwa juzi katika makaburi ya misheni mjini hapa chini ya uangalizi maalumu.    Mgonjwa huyo alifariki dunia Ijumaa saa 2 usiku baada ya kufika hospitalini hapo akiwa na homa kali. Vile vile madaktari waliokuwa wanatoa huduma kwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>