Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Maajabu: Mti Uliodondoka Miaka Mitatu Iliyopita Wainuka na Kusimama Wima Kama Zamani huko Tabora, Wananchi wagombea magome yake

$
0
0
Wananchi wa kijiji cha Mfuto katika Kata ya Ufulumo huko Wilayani Uyui, Tabora wamepatwa na mshituko na kuingiwa na hofu baada ya mti aina ya msufi, uliong'oka na kuanguka miaka mitatu iliyopita, kuinuka na kusimama wima kama zamani.    Mti huo wenye kipeo cha futi mbili inaelezwa kuwa ulianguka kwa upepo mkali na kuungua kwa moto wakati wa kuandaa mashamba. Mtangazaji wa TBC anasema

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>