Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Marekani Yashambulia Wanamgambo wa Syria kwa ndege

$
0
0
Ndege za kijeshi za Marekani zikirusha makombora kushambulia wanamgambo wa kundi la Islamic State katika mji wa Kabane, Syria. Muonekano baada ya ndege za Marekani kutupa makombora.   Marekani wameshambulia wanamgambo wa kundi la Islamic State katika mji wa Kabane, Syria kwa  makombora kwa kutumia ndege za kijeshi. Mashambulizi hayo yamesababisha kuwarudisha nyuma wanamgambo hao

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>