Aliyekuwa Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Mtera, Lameck Lubote ametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kusema amechoka na siasa zilizojaa udikteta wa viongozi wake.
Alisema amekerwa na kuingizwa kwa udini katika siasa kwa kuwashirikisha maaskofu wenye mwelekeo wa Chadema kwa kusingizia Jukwaa la Kikristo.
Alisema
↧