KAMATI Maalumu iliyoundwa na Serikali kutathmini ongezeko la ajali za barabarani nchini, imependekeza madereva watakaokutwa wakinukia pombe, wafutiwe leseni.
Kaimu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Augustine Shio, alisema hayo jana alipokuwa akikabidhi ripoti ya Kamati hiyo kwa Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe na Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka.
“Sheria ya usalama
↧