Msanii wa filamu Bongo, Alice Bagenzi ‘Rayuu’ amemtaka msanii mwenzake, Jacqueline Wolper apime Ukimwi kama alivyofanya yeye.
Akiongea na mwandishi wetu, Rayuu alisema anamheshimu Wolper na
kamwe hawezi kumsema vibaya lakini alishangaa kuambiwa na mashosti wake
kwamba anamsema yeye ana Ukimwi.
“Nilishangaa sana kwa kweli hilo jambo liliniumiza roho na linaniuma
mpaka kesho,
↧