SERIKALI
kupitia bodi ya filamu nchini imemkalia kooni mwigizaji, Aunt Ezekiel
na kumtaka aondoe baadhi ya vipande vya sinema yake mpya iitwayo Scola
vinginevyo haitaruhusiwa kuingia mtaani.
Taarifa kutoka ndani ya bodi
hiyo inayosimamia maadili ya sinema za Kitanzania, imeeleza kuwa Aunt
aliipeleka filamu hiyo ili ikakaguliwe kama zilivyo taratibu lakini
bahati mbaya
↧