STAA wa sinema za Kibongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ (pichani)
amemtimua mdogo wake aliyekuwa akiishi naye aitwaye Mary baada ya kunasa
ujauzito.
Chanzo
makini kilicho karibu na staa huyo kimepenyeza habari kuwa, Shilole
alifikia maamuzi hayo baada ya kumuonya binti huyo aachane na mwanaume
aliyemjaza mimba hiyo lakini hakusikia hivyo akaona bora amtimue.
“Kamtimua baada ya
↧