Ni ukweli ulio wazi kuwa star wa ‘Kesho’ Diamond Platnumz ‘anaweza’
kuwa msanii wa Tanzania anayefanya show nyingi zaidi kwa sasa na za
gharama kubwa, baada ya kuwachanganya mashabiki wa Comoro na crew yake
ya Wasafi weekend iliyopita sasa anategemewa kushare jukwaa moja na
wakali kutoka Nigeria Davido na Ice Prince jijini Nairobi mwezi July.
Diamond Platnumz kipenzi cha mabinti
↧