Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Marekani yapata mgonjwa wa pili wa Ebola

$
0
0
Mfanyakazi wa kituo cha afya aliyemtibu, Thomas Dancun kabla ya kifo chake katika jimbo la Texas nchini Marekani amepatikana na virusi vya ugonjwa wa Ebola. “Tulijua kuna uwezekano wa kisa cha pili kuripotiwa ,na tumejitayarisha kwa uwezekano huo”alisema Daktari David Lakey ambaye ni kamishna wa idara ya afya katika jimbo la Texas”   Marehemu Dancun ambaye aliambukizwa ugonjwa huo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles