Msajili
wa Vyama vya Siasa nchini John Tendwa, amedai kuwa ikibainika kuwa CHADEMA ndio
waliohusika katika kulipua bomu katika mkutano wao wa 15/06/2013
atakifuta.
Tendwa ameyasema hayo alipokuwa akizungumza katika kipindi cha
Hot Mix cha East Africa Television akijibu swali la mtangazaji wa
kipindi Adrian Stepp kuhusu hatua zitakazochukuliwa...
Alipoulizwa kama
↧