Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wanafunzi wa Sekondari ya Njombe Wachoma Moto Mabweni na karakana

$
0
0
Shule ya Sekondari ya Wavulana Njombe (Njoss) iliyoko mjini Njombe, imefungwa kuanzia jana hadi Novemba 8, mwaka huu, baada ya wanafunzi kuchoma moto bweni, karakana na kuharibu mali mbalimbali za shule na walimu.    Wanafunzi hao wanadaiwa pia kuharibu majengo ya Shule ya Msingi Kilimani iliyo karibu na shule hiyo.   Uamuzi wa kuifunga shule ulitolewa jana na Ofisa Elimu wa Mkoa wa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>