Katika hali ya kushangaza, mtoto Focus
Saimoni (9), mkazi wa Kwa Bibi Yuda, Kinondoni jijini Dar amekutwa
amejinyonga kwenye komeo la mlango wa sebule yao.
Focus aliyekuwa akisoma darasa la tatu katika Shule ya Msingi
Kumbukumbu, amedaiwa kufanya tukio hilo Jumamosi iliyopita kwa kufunga
gauni la mdogo wake shingoni na kujitundika kwenye komeo hilo mpaka
kukata roho.
Kwa mujibu wa
↧