Mbunge wa
Kawe, Halima Mdee na wenzake 8 leo wamepata dhamana katika Mahakama ya
Kisutu, Dar. Kesi yao kutajwa tena Oktoba 21, 2014.
Siku ya jana
washtakiwa hao walipanda kizimbani mbele ya Hakimu Mkazi Kaluyenda na
kusomewa mashtaka mawili na Wakili wa Serikali Mkuu, Kangola aliwataja
washtakiwa kuwa ni Mbunge wa Kawe, Mdee, Rose Moshi, Penina Peter, Anna
Linjewile, Mwanne Kassim,
↧